Wagombea Saba wa urais waidhinishwa NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC) kupitia Mwenyekiti wake, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage imemuidhinisha mgombea urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa IBRAHIM Lipumba na mgombea mwenza Hamida Abdalah kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Idhinisho hilo limefanyika mapema muda huu katika ofisi za time makoa makuu jijini Dodoma.

Mgombea huyo anakuwa wa saba baada CCM, ADA Tadea, NRA, SAU, NCCR Mageuzi na Demokrasia Makini kuidhinishwa.

Kwa habari au matangazo (diramakini@gmail.com) www.diramakini.co.tz

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news