Breaking News:Peter Serukamba aiaga CCM, asajiliwa ACT Wazalendo

 KATIKA hali inayoonyesha joto la Uchaguzi Mkuu limepanda, habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazinj,Peter Serukamba (CCM)ametimkia ACT-Wazalendo, inaripoti www.diramakini.co.tz

Baada ya uamuzi huo ikiwa ni siku moja baada ya CCM kutaja wateule wake huku Serukamba akikosa vigezo, tayari inadaiwa atachukua fomu ya kugombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.Habari zaidi zitakujia punde.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

2 Comments

Previous Post Next Post

International news