UJUMBE WA MWANA FA BAADA YA KUTEULIWA KUWANIA KITI CHA UBUNGE MUHEZA TANGA

 


Baada ya Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli na kamati yake kupitisha majina ya wagombea wa ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) leo.Baadhi ya wadau wa muziki wameteuliwa ambao ni msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mwana FA na meneja wa Diamond Platnumz, Babu Tale.


Baada ya uteuzi huo Mwana FA  ameandika ujumbe huu;

“Mungu ni mwema sana, Leo ni miongoni mwa zile siku chache, mimi nimeishiwa na sina la kusema, alama nyingine kuhusu ukubwa wa Mungu”

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news