Mashabiki wa Yanga SC wakiwa wamembeba Mkurugenzi wa Uwekezaji
wa Kampuni ya GSM, Mhandisi Hersi Said kwenye kiti cha Kifalme baada ya
kuwasili Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam kutoka Kinshasa,
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) akiwa na wachezaji wawili, kiungo
Tonombe Mukoko na winga Tusila Kisinda wa AS Vita ya huko ambao wote
wamejiunga na Yanga SC ya nchini Tanzania.
Karibu! Tovuti hii ya www.diramakini.co.tz imesajiliwa
rasmi na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) na kupewa leseni namba
TCRA/OCS-BL/0197/2020 chini ya Diramakini Business Limited iliyosajiliwa nchini
Tanzania kwa ajili ya kukuhabarisha, kukuelimisha na kukupasha habari
mbalimbali toka ndani na nje ya nchi. Je? Una habari,maulizo au tangazo,
unataka kutupa ufadhili? Tuwasiliane; diramakini@gmail.com Asante.
|
|