NEC yaidhinisha majina ya wagombea sita urais Oktoba 28

 MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia Makini, Cecilia Augustiono Mwanga ameidhinishwa na Tume ya Uchaguzi (NEC) kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo kupitia Uchaguzi Mkuu Oktoba 28,mwaka huu.

Idhinisho Hilo limefanywa leo katika ofisi za makao makuu ya NEC jijini Dodoma na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji mstaafu Semistocles Kaijage huku mgombea mwenza akiwa ni Tabu Mussa Juma.

Wengine walioidhinishwa ni pamoja na Yeremia Maganja wa NCCR Mageuzi na Mutamwega Mgaya wa SAU.

Hadi sasa walioidhinishwa ni vyama sita ikiwemo CCM ADA TADEA na NRA.

Kwa habari au matangazo (diramakini@gmail.com)www.diramakini.co.tz


Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news