BREAKING NEWS:Ni Diamond Platinum aingia kwenye rekodi nyingine ya Kimataifa, atajwa kuwa kinara




CEO wa WCB na msanii wa Kimataifa wa Tanzania, Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo iliyopo kwenye album mpya ya Alicia Keys.

Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha orodha ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news