Wagombea nafasi za udiwani katika mbalimbali mkoa wa Mara wakihamasishana kupiga push-up kuonesha uimara mbele ya Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama hicho tawala,Rais Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Mkendo mjini Musoma mkoa wa Mara leo Jumamosi Septemba 5, 2020.
Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiwasili nawanae Makongoro na Madaraka Nyerere kujiunga na wananchi wa mkoa wa Mara kumsikiliza Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala, Rais Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Mkendo mjini Musoma mkoa wa Mara leo Jumamosi Septemba 5, 2020.
Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akisalimiana na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt.John Pombe Magufuli kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wa
kampeni katika uwanja wa Mkendo mjini Musoma mkoa wa Mara leo Jumamosi Septemba 5, 2020
Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akiwasili nawanae Makongoro na Madaraka Nyerere kujiunga na wananchi wa mkoa wa Mara kumsikiliza Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala, Rais Dkt.John Pombe Magufuli akihutubia mkutano wa hadhara wa kampeni katika uwanja wa Mkendo mjini Musoma mkoa wa Mara leo Jumamosi Septemba 5, 2020.
Mjane wa Baba wa Taifa Mama Maria Nyerere akisalimiana na Mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho tawala Rais Dkt.John Pombe Magufuli kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wa
kampeni katika uwanja wa Mkendo mjini Musoma mkoa wa Mara leo Jumamosi Septemba 5, 2020
Tags
Picha