Jana nilikuwa kwenye mazishi Muheza,nililala Tanga.Leo nilianza safari ya kurudi Arusha, nilisikia kelele kwenye gari,tulifikiri ni grease,tukatafuta gereji na kuweka grease,tumefika Muheza watu wakatusimamisha na kutuambia tairi ina cheza,tumekuta stud tatu zimefunguliwa.
Tags
Siasa