Kwa nini? Fatma Karume (SHANGAZI) ametimuliwa kwenye kampuni ya Uwakili jijini Dar es Salaam? Sababu zake hizi hapa





Fatma Karume ambaye alizaliwa 15 Juni 1969 ni mwanasheria wa Kitanzania na wakili wa kujitegemea, mwanaharakati ambaye aliwahi kuwa Rais wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) katika kipindi cha mwaka 2018 hadi 2019.

Alipata wadhifa huo baada ya kushinda katika uchaguzi wa urais wa chama hicho uliofanyika Aprili 2018 na hivyo kumrithi mtangulizi wake Tundu Lissu aliyekiongoza chama hicho kutoka mwaka 2017 hadi 2018.

Fatma ni mtoto mkubwa wa Rais wa Awamu ya Sita wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Amani Abeid Karume na ndugu zake wengine ni Abeid, Shuwana na Ahmed.

Ni mjukuu wa Rais wa Awamu ya Kwanza wa Zanzbar, Sheikh Abeid Aman Karume.

Kwa upande wa elimu yake ya masuala ya kisheria kwa kiasi kikubwa amesomea nchini Uingereza.Amefanya kazi kwa muda mrefu katika Kampuni ya IMMA Advocates ya jijini Dar es Salaam katika kusimamia masuala ya mashitaka mahakamani kabla ya uamuzi tajwa juu kufanyika.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news