Maalim Seif Sharif Hamad: Nipo tayari kuwatumikia Wazanzibari kwa nafasi ya urais, nimerejesha fomu ZEC

 






Mgombea Urais Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad baada ya kuwasili Maruhubi katika Kituo cha Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) asubuhi ya leo Septemba 9, 2020 kwa ajili ya kurejesha fomu ya kuomba kuteuliwa na tume kuwania nafasi hiyo. Pichani akipokea maelekezo kutoka kwa Mwanasheria wa chama,Omar Said Shaaban na baadae akaziwasilisha kama alivyoonwa na mwakilishi wa www.diramakini.co.tz jijini Zanzibar.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news