Nyota ya Mbwana Samatta yazidi kung'ara

Klabu ya West Brom inayoshiriki Ligi Kuu ya England ina mpango wa kukwamisha mchakato wa klabu ya Fenerbahce wa kumsajili nyota wa Kimataifa na raia wa Tanzania,Mbwana Samatta.

Alan Nixon wa The Sun ameripoti kuwa, West Brom inapanga kuingilia kati na kukwamisha biashara hiyo ili kutimiza hitaji la kocha wao, Slaven Billic anayemuhitaji Samatta.

Nixon ameeleza kuwa,huenda West brom wakafanikiwa kumpata Samatta kutokana na hitaji lake la kuendelea kucheza katika Ligi Kuu ya England.
Mbwana Samatta kulia. (PL).

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news