Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Zena Said (kushoto) akipata maelezo kuhusu miradi mbalimbali ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kutoka kwa Meneja Mkuu wa Kampuni ya Gesi Tanzania (GASCO) ambayo ni kampuni tanzu ya TPDC, Mhandisi Baltazar Mrosso alipotembelea banda la TPDC wakati wa Maonesho ya Siku ya Wahandisi jijini Dodoma, mwingine pichani ni Marie Msellemu ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano TPDC.
Tags
Picha