Utabiri wa hali ya hewa kwa saa 24 zijazo kuanzia saa 3:00 usiku wa leo Septemba 19,2020

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), upepo wa Pwani unatarajiwa kuvuma kwa kasi ya kilomita 20 kwa saa kutoka Kusini Mashariki kwa Pwani yote, vivyo hivyo hali ya bahari inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo.Ngurumo zinatarajiwa katika maeneo machache ya ukanda wa ziwa Victoria. TMA inabainisha kuwa, matarajio kwa siku ya Jumatatu ya Septemba 21, 2020 kutakuwa na mabadiliko kidogo.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news