NA MWANDISHI MAALUM
MOTO ulioanzia jikoni katika Hoteli ya Villa de Coco iliyopo Jambiani jijini Zanzibar umeteketeza hoteli tatu na kuunguza vyumba vingine sita vya hoteli jirani ya nne.
Ni kutokana na upepo mkali wa baharini na zana chache za kuzimia moto usiku wa Novemba 19,2021.
Kwa miaka kadhaa sasa, matukio ya ajali z moto yamekuwa yakizikabili hoteli mbalimbali za Kitalii jijini Zanzibar.