NA MWANDISHI DIRAMAKINI
UONGOZI wa Azam FC umeingia mkataba wa miaka mitatu na Omar Abdikarim Nasser kuwa Kocha Msaidizi mpya.
Ujio wa Nasser aliyesaini mkataba mbele ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin 'Popat', ni sehemu ya mapendekezo ya Kocha Mkuu, Abdihamid Moallin.
Al Sadd ni moja ya timu kubwa nchini humo, iliyokuwa ikinolewa na gwiji wa zamani wa Hispania, Xavi Hernandez, kabla kurejea Barcelona, akiwa kama Kocha Mkuu.
Tags
Michezo