>Mufti afurahia mwaliko wa Aprili 3,mwaka huu uwanja wa Benjamin Mkapa
NA MWANDISHI MAALUM
MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Ahmed Ally hii leo amemtembelea nyumbani kwake Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Bin Zubeiry bin Ally.

Akipokea zawadi hiyo Mufti ameeleza kufurahishwa na ziara ya Meneja wa Simba na kueleza kuwa ameonesha heshima ya kuwathamini wakubwa.
