NA DIRAMAKINI
MKUU wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Queen Cuthbert Sendiga amezindua matumizi ya App ya Nikonekt ambayo inamwezesha mwananchi kuunganishiwa umeme kidigitali.
MKUU wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Queen Cuthbert Sendiga amezindua matumizi ya App ya Nikonekt ambayo inamwezesha mwananchi kuunganishiwa umeme kidigitali.

Aidha, mbali na pongezi nyingi alizozitoa Mheshimiwa Sendiga pia alitoa wito kwa wananchi kuendelea kutunza miundombinu ya umeme ili kuepusha gharama zisizokuwa za lazima katika kufanya matengenezo.