Wadau wa habari akiwemo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, Anita Mendoza, Kaimu Mtendaji Mkuu wa TEF, James Marenga, Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN na Angela Akilimali, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wakimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (anayenakili jambo) ofisini kwake bungeni jijini Dodoma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (AG) kulia akizungumza na wadau wa habari waliomtembelea ofisini kwake bungeni jijini Dodoma leo.



Wadau wa habari akiwemo Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile,James Marenga, Makamu Mwenyekiti wa MISA TAN na Angela Akilimali, Mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) wakimsikiliza Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mhe.Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (anayenakili jambo) ofisini kwake bungeni jijini Dodoma.
Tags
Habari
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF)
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Sheria ya Habari Tanzania