Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Dkt. John Jingu akizungumza wakati wa kikao kazi cha Makatibu Wakuu kuhusu maandalizi ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es Salaam.



Mkurugenzi wa Menejimenti ya Manunuzi na Ugavi Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Bi. Hirtrudice Jisenge akichangia jambo wakati wa kikao hicho. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU).