Tuma maombi yako Bure kupitia https://www.out.ac.tz
Masomo yataanza mwezi Novemba 2022 na kukamilika Juni 2023. Tuma maombi yako sasa hivi. Ada ya programu nzima ni 690,000/= ambayo hulipwa kwa awamu.
Kwa maswali niandikie sms kupitia 0719017254 nitakupatia majibu.
WENU;
Dkt. Mohamed Maguo
Mhadhiri na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Masoko
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania