NA GODFREY NNKO
LEO Franka ya Rwanda (RWF) inanunuliwa kwa shilingi 2.18 na kuuzwa kwa shilingi 2.24 huku shilingi ya Uganda (UGX) ikinunuliwa kwa shilingi 0.57 na kuuzwa kwa shilingi 0.59.

Randi ya Afrika Kusini (ZAR) inanunuliwa kwa shilingi 136.59 na kuuzwa kwa shilingi 137.84 huku shilingi ya Kenya (KES) ikinunuliwa kwa shilingi 19.26 na kuuzwa kwa shilingi 19.42.
Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 2794.27 na kuuzwa kwa shilingi 2823.14 huku Dola ya Canada (CAD) ikinunuliwa kwa shilingi 1786.26 na kuuzwa kwa shilingi 1803.69.
Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2336.59 na kuuzwa kwa shilingi 2360.88 huku Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2293.02 na kuuzwa kwa shilingi 2315.95.
Franka ya Burundi (BIF) inanunuliwa kwa shilingi 2.19 na kuuzwa kwa shilingi 2.21 huku Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) ikinunuliwa kwa shilingi 624.31 na kuuzwa kwa shilingi 630.49.

Tags
Bank of Tanzania Exchange Rates
Benki Kuu ya Tanzania
Fedha na Uchumi
Fedha za Kigeni
Indicative Exchange Rates from Bank of Tanzania
Uchumi na Biashara