🔴LIVE:Balozi Mbelwa Kairuki akizungumza na wanahabari
BALOZI wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China,Mheshimiwa Mbelwa Kairuki akizungumza mubashara na vyombo vya habari vya Tanzania kupitia mtandao wa Zoom leo Jumamosi Agosti 29,2022 kuanzia saa 9 kamili alasiri kwa saa za Tanzania.