NA MWANDISHI WAF
WITO umetolewa kwa waandishi wa habari kuandika na kuripoti habari sahihi zinazohusiana na magonjwa ya milipuko na kukemea taarifa za upotoshaji ambazo zinaweza kuleta taharuki na hofu kwa jamii.

Bi. Catherine amesema Waandishi wa habari ni kundi muhimu katika mapambano dhidhi ya magonjwa ya Mlipuko kwani wanahusika moja kwa moja katika kukabiliana nayo, na hutumia muda mfupi kufikia idadi kubwa ya watu.





