Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Angella Muhozya akimuonesha moja ya chumba cha kulipia (VIP) Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea taasisi hiyo hivi karibuni kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt.Angella Muhozya akimuelezea huduma zinazotolewa na taasisi hiyo, Kansela wa Uchumi na Biashara kutoka Ubalozi wa China nchini Tanzania, Chu Kun alipotembelea JKCI kwa ajili ya kuangalia huduma za matibabu ya moyo zinazotolwea na taasisi hiyo jijini Dar es Salaam.