NA JOHN MAPEPELE
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho ameipongeza Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo kutokana kufanya vizuri kwenye Sanaa ya Muziki na Sanaa ya Filamu hapa nchini.



Pia amepongeza kwa Serikali kuanzisha Mfuko wa Utamaduni na Sanaa na kuanza kutoa mikopo isiyo na riba na kuomba kuwa na mkakati madhubuti ambao utasaidia sanaa kwenye kwenye ngazi za kimataifa.
Tukio hilo limehudhuriwa na mamia ya wapenzi wa muziki huku wasanii mbalimbali wa nyimbo za kizazi kipya wakimsindikiza Marioo katika uzinduzi wa album hiyo.
Pia Katibu Mkuu wa Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt.Hassan Abbasi na viongozi wengine pamoja na wadau mbalimbali wa muziki wamejitokeza