NA FARIDA RAMADHANI-WFM
SERIKALI imetoa rai kwa wanahisa wa kampuni mbalimbali nchini kushiriki vikao vya mwaka vya wanahisa vya kampuni zao ili kuwa sehemu ya maamuzi yanayotolewa kwenye Mkutano Mkuu wa Mwaka.
.jpg)
Mhe. Chande alisema ulipaji wa gawio kwa wanahisa wa kampuni unafanyika kwa kuzingatia Kifungu cha 180 cha Sheria ya Kampuni, Sura 212.
Alibainisha kuwa kwa mujibu wa Sheria hii, Serikali haiwezi kuingilia maamuzi na taratibu za Kampuni kulipa gawio.