
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza baada ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa Miradi wa Maji kwa vijiji 34 vya wilaya ya Ruangwa na vijiji 21 vya wilaya ya Nachingwea kwa kutumia chanzo cha maji cha mto Nyangao. Tukio hilo lilifanyika kwenye ukumbi wa VETA Nandagala wilayani Ruangwa, Februari 18, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Baadhi ya mwananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipozungumza baada ya kushuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa mradi wa Maji kwa vijiji 34 vya wilaya ya Ruangwa na vijiji 21 vya wilaya ya Nachingwea kwa kutumia chanzo cha maji cha mto Nyangao. Tukio hilo lilifanyika kwenye ukumbi wa VETA Nandagala wilayani Ruangwa, Februari 18, 2023. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
