NA ADELADIUS MAKWEGA
TIMU ya Mpira wa Miguu ya Chuo Cha Maendeleo ya Michezo Malya (Utamaduni FC) imeondolewa katika nusu fainali ya mashindano ya mchezo wa soka baada ya kufungwa kwa mikwaju ya penati minne kwa mitatu na timu ya Alizeti FC ya Mwitango Malya Kwimba Mwanza Juni 19, 2023 katika mchezo uliofanyika katika Viwanja vya Magereza Malya.
Hapo ndipo benchi la ufundi la Utamaduni FC liliweka mikakati kadhaa chini ya Ndinagu Sungura na wakarudi uwanjani kumalizia dakika 45 za kipindi cha pili na kurudisha bao na matokeo kuwa moja kwa moja.
Waamuzi wa mchezo.
Mchezo uliendelea kwa pasi za hapa na pale huku kila upande ukishangiliwa ipasavyo na mashabiki wake na tambo za hapa na pale huku kukiwa na dalili za mikwaju ya penati.
Utamaduni FC
Hivyo Alizeti FC wameingia fainali watapambana na Black Mamba FC. Utamaduni FC wakipata penati tatu, matokeo hayo yamesaidia Alizeti FC kuingia fainali ya mchezo huo.