Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Majaliwa amemuomba Balozi Homaid akawe balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania kwa sababu anafahamu vizuri fursa zilizopo nchini.
Waziri Mkuu ateta na Balozi wa Qatar nchini Tanzania
Pamoja na mambo mengine, Mheshimiwa Majaliwa amemuomba Balozi Homaid akawe balozi mzuri wa kuitangaza Tanzania kwa sababu anafahamu vizuri fursa zilizopo nchini.