Rais Dkt.Samia ahitimisha ziara mikoa ya Kusini


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ikwiriri, Rufiji Mkoani Pwani mara baada ya kuhitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ikwiriri, Rufiji Mkoani Pwani mara baada ya kuhitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Ikwiriri, Rufiji Mkoani Pwani mara baada ya kuhitimisha Ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akipokea zawadi ya picha kutoka kwa Siti Mketo mara baada ya kuzungumza na Wananchi wa Somanga wakati akihitimisha Zara vake katika Mikoa va Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akinyanyua juu zawadi yake ya picha aliyopewa na Siti Mketo wakati akihitimisha Zara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Watoto wa Shule a Msingi Somanga wakiwa na shauku va kumuona Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aliposimama eneo hilo kuwasalimia Wananchi wakati akihitimisha Zara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.
Wananchi wa Somanga wakiwa kwenye shamrashamra za kumpokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan wakati aliposimama eneo hilo kuwasalimia Wananchi wakati akihitimisha Zara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 20 Septemba, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news