Viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni leo Septemba 14, 2023

NA GODFREY NNKO

LEO Paundi ya Uingereza (GBP) inanunuliwa kwa shilingi 3053.08 na kuuzwa kwa shilingi 3084.59 huku Franka ya Rwanda (RWF) ikinunuliwa kwa shilingi 2.00 na kuuzwa kwa shilingi 2.08.

Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya viwango elekezi vya kubadilisha fedha za kigeni iliyotolewa leo Septemba 14, 2023 na Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Dola ya Zimbabwe (ZWD) inanunuliwa kwa shilingi 0.46 na kuuzwa kwa shilingi 0.47 huku Euro ya Ulaya (EUR) inanunuliwa kwa shilingi 2627.98 na kuuzwa kwa shilingi 2655.74.

Yen ya Japan (JPY) inanunuliwa kwa shilingi 16.59 na kuuzwa kwa shilingi 16.75 huku Yuan ya China (CNY) ikinunuliwa kwa shilingi 336.36 na kuuzwa kwa shilingi 339.63.

Shilingi ya Kenya (KES) inanunuliwa kwa shilingi 16.71 na kuuzwa kwa shilingi 16.85 huku Kwacha ya Malawi (MWK) ikinunuliwa kwa shilingi 2.06 na kuuzwa kwa shilingi 2.24.

Dola ya Canada (CAD) inanunuliwa kwa shilingi 1805.18 na kuuzwa kwa shilingi 1822.69 huku Franka ya Uswisi (CHF) ikinunuliwa kwa shilingi 2740.61 na kuuzwa kwa shilingi 2767.70.

Dola ya Marekani (USD) inanunuliwa kwa shilingi 2448.73 na kuuzwa kwa shilingi 2473.22 huku Dinar ya Kuwait (KWD) ikinunuliwa kwa shilingi 7933.94 na kuuzwa kwa shilingi 8010.69.

Shilingi ya Uganda (UGX) inanunuliwa kwa shilingi 0.63 na kuuzwa kwa shilingi 0.66 huku Franka ya Burundi (BIF) ikinunuliwa kwa shilingi 0.86 na kuuzwa kwa shilingi 0.87.

Dola ya Australia (AUD) inanunuliwa kwa shilingi 1567.92 na kuuzwa kwa shilingi 1583.85 huku SDR ya Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ikinunuliwa kwa shilingi 3236.00 na kuuzwa kwa shilingi 3268.36.

Krona ya Sweden (SEK) inanunuliwa kwa shilingi 219.90 na kuuzwa kwa shilingi 222.05 huku Randi ya Afrika Kusini (ZAR) ikinunuliwa kwa shilingi 129.38 na kuuzwa kwa shilingi 130.57.

Dirham ya Umoja wa Falme za Kiarabu (AED) inanunuliwa kwa shilingi 666.85 na kuuzwa kwa shilingi 673.31 huku Schilling ya Australia (ATS) ikinunuliwa kwa shilingi 157.13 na kuuzwa kwa shilingi 158.53.

Foreign Exchange Rates in United Republic of Tanzania today September 14th, 2023 according to Central Bank (BoT);
S/NO Currency Buying Selling Mean Transaction Date
1 AED 666.848 673.3148 670.0814 14-Sep-23
2 ATS 157.1352 158.5276 157.8314 14-Sep-23
3 AUD 1567.9235 1583.8501 1575.8868 14-Sep-23
4 BEF 53.6004 54.0748 53.8376 14-Sep-23
5 BIF 0.8614 0.867 0.8642 14-Sep-23
6 CAD 1805.1844 1822.6988 1813.9416 14-Sep-23
7 CHF 2740.6073 2767.7037 2754.1555 14-Sep-23
8 CNY 336.3598 339.63 337.9949 14-Sep-23
9 DEM 981.1807 1115.3191 1048.2499 14-Sep-23
10 DKK 352.3204 355.8078 354.0641 14-Sep-23
11 ESP 12.9955 13.1101 13.0528 14-Sep-23
12 EUR 2627.9799 2655.7437 2641.8618 14-Sep-23
13 FIM 363.6587 366.8813 365.27 14-Sep-23
14 FRF 329.6314 332.5472 331.0893 14-Sep-23
15 GBP 3053.0799 3084.5999 3068.8399 14-Sep-23
16 HKD 312.9571 316.0745 314.5158 14-Sep-23
17 INR 29.5044 29.794 29.6492 14-Sep-23
18 ITL 1.1167 1.1266 1.1216 14-Sep-23
19 JPY 16.5926 16.754 16.6733 14-Sep-23
20 KES 16.7092 16.8533 16.7812 14-Sep-23
21 KRW 1.8428 1.86 1.8514 14-Sep-23
22 KWD 7933.9446 8010.6886 7972.3166 14-Sep-23
23 MWK 2.0594 2.24 2.1497 14-Sep-23
24 MYR 523.5691 528.1273 525.8482 14-Sep-23
25 MZM 38.012 38.3326 38.1723 14-Sep-23
26 NLG 981.1807 989.8819 985.5313 14-Sep-23
27 NOK 228.9626 231.1874 230.075 14-Sep-23
28 NZD 1444.5074 1459.9418 1452.2246 14-Sep-23
29 PKR 7.9328 8.3204 8.1266 14-Sep-23
30 RWF 2.0022 2.0836 2.0429 14-Sep-23
31 SAR 652.8561 659.3495 656.1028 14-Sep-23
32 SDR 3236.0002 3268.3602 3252.1802 14-Sep-23
33 SEK 219.9013 222.0544 220.9779 14-Sep-23
34 SGD 1797.6308 1815.2074 1806.4191 14-Sep-23
35 UGX 0.633 0.6641 0.6485 14-Sep-23
36 USD 2448.7326 2473.22 2460.9763 14-Sep-23
37 GOLD 4673871.5662 4721624.302 4697747.9341 14-Sep-23
38 ZAR 129.3832 130.5736 129.9784 14-Sep-23
39 ZMW 113.0543 117.4368 115.2456 14-Sep-23
40 ZWD 0.4583 0.4675 0.4629 14-Sep-23

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news