SAMARKAND-Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Jasmine Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Gavana wa jimbo la Kharezm jijini Samarkand nchini Uzbekistan, Bw. Davletov Anvar Kenjayevich.
Majadiliano hayo ambayo yameangazia kuhusu ushirikiano katika sekta ya utalii baina ya Tanzania na Uzbekistan yamefanyika Oktoba 15, 2023.
Majadiliano hayo ambayo yameangazia kuhusu ushirikiano katika sekta ya utalii baina ya Tanzania na Uzbekistan yamefanyika Oktoba 15, 2023.

Vilevile, Mhe. Kairuki na ujumbe wake wanatarajia kuona uzoefu ilionao Uzbekistan katika uratibu wa makumbusho za Taifa.