Rais Dkt.Samia ateta na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Saudi Arabia


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb, Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb pamoja na ujumbe wake Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb wa nne kutoka kushoto pamoja na ujumbe wake mara baada ya mazungumzo Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya EXIM ya Saudi Mhandisi Saad Alkhalb mara baada ya mazungumzo Jijini Riyadh nchini Saudi Arabia tarehe 10 Novemba, 2023.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news