DAR ES SALAAM- Mfanyakazi wa Upendo Media Network Ltd (UMN) ni miongoni mwa abairia waliofariki katika ajali iliyohusisha basi la Kampuni ya Ally's na treni.

"Ajali iliyosababisha kifo cha Ruth ilitokea baada ya basi la Ally's alilokuwa akisafiria kugonga kichwa cha treni.
"Marehemu alikuwa Afisa Masoko wa Upendo Media na alikuwa safarini kuelekea Karagwe kwenye harusi ya mdogo wake.Naomba tuungane na wanafamilia kuwaombea na kuwafariji katika kipindi hiki kiguma."Soma zaidi hapa kuhusu ajali hiyo>>>
BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE