LINDI-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa tarehe 12 Novemba, 2023 ameshiriki maziko ya Bi. Fatma Mikidadi yaliyofanyia mkoani Lindi.


Amesema, enzi za uhai wake alikuwa miongoni mwa watu waliofanya jitihada kubwa ya kuhakikisha Mkoa wa Lindi unapata maendeleo kwa kushiriki katika miradi ya kuwainua wananchi.