ARUSHA-Msajili Hazina, Nehemiah Kyando Mchechu jana Februari 20, 2024 alitembelea Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) iliyopo jijini Arusha, Tanzania.
Lengo la ziara hiyo ilikuwa ni kukagua utekelezaji wa majukumu ya mamlaka hiyo.


Sambamba na kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa au kuna maslahi ya umma kwa niaba ya Rais na kwa ajili ya Serikali ya Jamhuri wa Muungano wa Tanzania.