DODOMA-Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia,Prof.Adolf Mkenda amesema, Serikali itahakikisha inaweka mazingira ya wanafunzi wote ambao shule zao zimeathirika na mafuriko nchini kuendelea na masomo.



Akizungumza katika kikao hicho, Waziri wa OR-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amesema, wataalamu wanapaswa kuandaa maandiko ya upatikanaji fedha kutoka kwa washirika wa maendeleo ambao wako tayari.