Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 28,2024

PRETORIA-Timu ya Mamelodi Sundowns (Masandawana) ya Afrika Kusini imeacha gumzo kwenye Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutupwa nje ya michuano hiyo juzi usiku.
Mamelodi wameondoshwa na Esperance ya Tunisia kwa jumla ya mabao 2-0 baada ya kupoteza michezo miwili ya nyumbani na ugenini.
Wababe hao wa soka la Afrika Kusini ni moja ya vilabu vyenye kikosi ghali zaidi barani Afrika na moja ya timu tishio kwasasa katika soka la ngazi ya vilabu barani humu.




















Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news