MTANZANIA Bernice Fernandes, ameteuliwa kuwa mjumbe wa bodi ya Jumuiya ya Tamasha la Kimataifa la Ujasiriamali (GEF), ambayo pamoja na mambo mengine itaandaa tamasha la mwaka huu ambalo mmoja wa wazungumzaji anatarajiwa kuwa Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama.



Tags
Kurasa za Magazeti
Kurasa za Mbele na Nyuma za Magazeti
Magazeti
Magazeti ya Leo
Magazetini
Magazetini leo
Yaliyojiri Magazetini Leo