Naibu Waziri Mkuu atembelea banda la NHIF maonesho ya OSHA jijini Arusha


Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Dotto Biteko (kulia), akisisitiza jambo baada ya kupata maelezo ya shughuli zinazofanywa na NHIF kwenye Maonesho ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi (OSHA), katika uwanja wa General Tyre, Njiro jijini Arusha, Aprili 28, 2024.
NHIF inashiriki katika maonesho kutoa elimu na kuhamasisha wananchi kujiunga na Mfuko ili kuwa na uhakika wa kupata huduma za matibabu.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news