Naibu Waziri Sagini afungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali


Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiwaongoza Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kuimba wimbo wa Mshikamano Daima muda mfupi kabla ya kufungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi hiyo uliofanyika mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akifungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa ofisi hiyo uliofanyika mkoani Morogoro.
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Luhende akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akimkaribisha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini aweze kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.
Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Luhende akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati akimkaribisha Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini aweze kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.
Kaimu Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Ndg. Mark Mulwambo akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakati wa Mkutano wa pili wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (aliyesimama kushoto) akipokea zawadi ya begi lenye jina la Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kutoka kwa Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Luhende mara baada ya kufungua mkutano wa Baraza la wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (aliyeketi katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali mara baada ya kufungua Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika Mkoani Morogoro.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini akiwa kwenye picha ya pamoja na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali uliofanyika mkoani Morogoro.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (Hayuo pichani) wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (Hayuo pichani) wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.
Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Sagini (Hayuo pichani) wakati akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi uliofanyika mkoani Morogoro.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news