Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 25,2024

DAR-Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limeonya baadhi ya watu wasio waadilifu kuacha vitendo vya kitapeli na kuwalaghai Watanzania kutoa fedha ili kujiunga na mafunzo, kwani mafunzo hayo yanatolewa bure.
Brigedia Jenerali Hassan Mabena ambaye ni Mkuu wa Tawi la Utawala JKT ameyasema hayo Mei 24,2024 wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu wito wa mafunzo ya JKT kwa mujibu wa Sheria Mwaka 2024.
Ni vijana waliohitimu elimu ya sekondari kidato cha sita mwaka 2024 kutoka shule zote za Tanzania Bara kuhudhuria Mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria ili kujengewa uzalendo, umoja na stadi za maisha.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news