DAR-Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo tarehe 17 Mei, 2024 amekutana na Balozi wa Poland nchini Tanzania, Mhe. Krzystof Buzalski ambapo wamezungumzia kuhusu kuendelea kukuza ushirikiano kati ya nchi hizo mbili katika Sekta ya Elimu.
