Rais Dkt.Samia awasili nchini Ufaransa kushiriki Mkutano wa Nishati Safi ya Kupikia


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Ufaransa Mhe. Ali Jabir Mwadini mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa tarehe 12 Mei, 2024. Rais Samia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris na pia atakuwa Mwenyekiti Mwenza katika Mkutano huo wa Kimataifa.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege Paris nchini Ufaransa tarehe 12 Mei, 2024. Rais Samia anatarajiwa kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia kwa Afrika tarehe 14 Mei, 2024 Jijini Paris na pia atakuwa Mwenyekiti Mwenza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na mtoto Khaira Ali Jabir mara baada ya kuwasili Jijini Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Kimataifa wa Nishati Safi ya Kupikia tarehe 12 Mei, 2024.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news