Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia waratibu Jukwaa la Biashara na Uwekezaji

WINDHOEK-Ubalozi wa Tanzania nchini Namibia umeratibu na kushiriki katika Jukwaa la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Namibia lililofanyika jijini Windhoek tarehe 30 Mei, 2024.
Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki,Balozi Stephen Mbundi,ameongoza ujumbe wa Tanzania katika jukwaa hilo.
Bi. Fatma Mabrouk Khamis, Katibu Mkuu Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Namibia,  Mheshimiwa Ceasar Waitara.
Jukwaa hilo limejumuisha Sekta za Kilimo, Mifugo, Utalii, Biashara na Uwekezaji.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news