UDOM, DCT Canon Andrea watembelea Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Dodoma

Walimu na wanafunzi kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) na Shule ya Kimataifa ya DCT Canon Andrea wametembelea Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini Dodoma na kupata fursa ya kujifunza kuhusu majukumu mbalimbali ya Benki Kuu, utambuzi wa alama za usalama katika noti za Tanzania pamoja na uwekezaji katika Dhamana za Serikali.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news