VIDEO:Serikali yazidi kuwaheshimisha wana Msomera, yawapatia majiko banifu na gesi

TANGA-Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amekabidhi majiko banifu pamoja na majiko ya gesi kwa wakazi wa Kijiji cha Msomera, wilayani Handeni, Mkoa wa Tanga jana Mei 17 ikiwa ni muendelezo wa juhudi za Serikali za kuhakikisha ifikapo 2034, asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati safi ya kupikia.
Katika hafla hiyo, Wakala wa Nishati Vijijini (REA), umetoa majiko banifu 1500 yenye gharama ya Shilingi Milioni 82.5 ikiwa ni muendelezo wake katika kufanikisha azma hiyo ya Serikali yenye lengo la kulinda mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news