Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dkt.Samia mkutano wa dharura SADC



Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 20, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Waziri Mkuu anashiriki Mkutano huo kwa njia ya mtandao kutokea kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news