Waziri Mkuu awasili Mbeya, kushiriki Tulia Marathon 2024 kesho

MBEYA-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 10, 2024 amewasili uwanja wa ndege wa Songwe ambapo kesho Mei 11, 2024 atakuwa mgeni rasmi katika mbio za Mbeya Tulia Marathon 2024.
Pichani, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera, Viongozi wa vyama vya siasa na Serikali, viongozi wa dini na mila.
Akiwa mkoani Mbeya, Waziri Mkuu atakagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na kuzungumza na wananchi.

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news