Waziri Mkuu mgeni rasmi Kongamano la JUMIKITA

DAR-Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Mei 21, 2024 ni mgeni rasmi katika kongamano la Jumuiya ya Wanahabari wa Mitandao ya Kijamii Tanzania (JUMIKITA).
Katika Kongamano hilo, watajadili kuhusu miaka mitatu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Madarakani pamoja na Uhuru wa Vyombo vya Habari.
Viongozi wengine wanaoshiriki katika kongamano hilo ni Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye pamoja na Msemaji Mkuu wa Serikali Mobhare Matinyi.

📍Dar es Salaam-Tanzania

🗓️Mei 21, 2024

Diramakini

DIRAMAKINI is Tanzanian news media house established to play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth.Our readers trust our coverage of the issues that matter most to them. Our agenda-setting journalism attracts. Contact us on diramakini@gmail.com OR +255 719 254 464.

Post a Comment

Previous Post Next Post

International news